
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi
akipokea zawadi maalum ya pongezi
kwa kutimiza miaka miwili ya uongozi wake,
kutoka kwa Waziri wa Nchi (OR) Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora.
Mhe Haroun Ali Suleiman katika Maadhimisho ya siku ya Maadili na Haki za binaadamu yaliyofanyika katika
Ukumbi wa Zanzibar Beach Resort, Tarehe 16 Desemba 2022
Karibu katika tovuti ya Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar (Tume ya Maadili). Tume ya Maadili ni Wakala wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambayo inajukumu la kutekeleza na kusimamia Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Sheria Nam. 4 ya mwaka 2015 ambayo inawataka Viongozi wote wa Umma kuwasilisha mbele ya Tume ya Maadili tamko lao la taarifa za mali na madeni.
Kamati ya Kudumu ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi imeelezea kuridhishwa na taarifa ya utekelezaji wa kazi za Tume
VIONGOZI na Watumishi wa Umma, wametakiwa kufuata misingi na maadili ya Umma, ili kuleta maendeleo na kuimarisha utawala bora nchini. Akitoa mafunzo ya Maadili
WAANDISHI wametakiwa kuyaibua matendo maovu yanayofanywa na viongozi wa umma ili kuiepusha jamii kukosa haki zao za msingi na kushamiri kwa rushwa katika jamii. Afisa Uhusianao
UADILIFU ni dhana moja ambayo kuielezea kwake hutaacha kuigusa dhana ya Utawala Bora. Kuitwa mtumishi ama kiongozi aliyetukuka mbali na sifa nyengine kunashabihiana sana na matendo
Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni wakala wa Serikali ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Sheria Nam. 4 ya mwaka 2015. Tume imeanza kufanya kazi mwezi wa Aprili, 2016.
© 2023 - All right reserved at Zanzibar Public Leaders’ Ethics Commission.