Kwa mujibu wa kifungu cha 15 na 16 cha sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar nambari 4 ya 2015 Viongozi wote wa Umma wanatakiwa kujaza Fomu ya Tamko la Mali na Madeni na kuiwasilisha kwa Mwenyekiti wa Tume si zaidi ya tarehe 31 Disemba 2021
Nyumbani » Tangazo la Fomu ya Tamko la Mali na Madeni
Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni wakala wa Serikali ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Sheria Nam. 4 ya mwaka 2015. Tume imeanza kufanya kazi mwezi wa Aprili, 2016.
© 2025 - All right reserved at Zanzibar Public Leaders’ Ethics Commission.