The Revolutionary Government of Zanzibar

Public Leaders

PUBLIC LEADERS IN ACCORDANCE WITH THE FIRST SCHEDULE

(Made under section 3)

In accordance with section 3 of the Zanzibar Public Leaders’ Code of Ethics Act, No. 4 of 2015, Public leader means:

“ …any person holding any of the public posts in accordance with the provisions of the Constitution or any other law of Zanzibar and those provided in the First Schedule of this Act ”

The list of Public leaders, in accordance with the First Schedule of the Zanzibar Public Leaders’ Code of Ethics Act, No. 4 of 2015, is as follows:

        1. Rais wa Zanzibar
        2. Makamu wa Kwanza wa Rais
        3. Makamu wa Pili wa Rais
        4. Jaji Mkuu
        5. Spika, Naibu Spika na Katibu wa Baraza la Wawakilishi
        6. Waziri na Naibu Waziri
        7. Mwanasheria Mkuu na Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali
        8. Kadhi Mkuu, Naibu Kadhi Mkuu na Kadhi wa Mahkama ya Kadhi
        9. Mufti, Naibu Mufti, Katibu wa Mufti na Naibu Katibu wa Mufti
        10. Jaji wa Mahkama Kuu na Hakimu wa Mahkama wa ngazi zote
        11. Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi
        12. Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongon
        13. Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya
        14. Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu
        15. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali na Naibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
        16. Mkurugenzi wa Mashtaka na Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka
        17. Mtakwimu Mkuu wa Serikali
        18. Mhasibu Mkuu wa Serikali na Naibu Mhasibu Mkuu wa Serikali
        19. Mkemia Mkuu wa Serikali na Mfamasia Mkuu
        20. Kamishna na Naibu Kamishna wa Tume,Kamisheni. Idara na Taasisi nyengine za Serikali
        21. Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi. Bodi ya Ushauri. Baraza na Bodi nyengine za Taasisi za Serikali ambaye ni Muajiriwa wa SMZ
        22. Mshauri wa Rais, Mshauri wa Makamu wa Rais na Mshauri wa Waziri
        23. Katibu wa Rais, Naibu Katibu wa Rais, Msaidizi wa Rais na Naibu Msaidizi wa Rais
        24. Katibu Mtendaji, Katibu na Naibu Katibu wa Tume, Kamisheni, Baraza na Taasisi nyengine za SMZ
        25. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu, Naibu Makamu
        26. Mkuu wa Chuo Kikuu na Mkuu wa Skuli wa Chuo Kikuu cha Urnma
        27. Mkuu wa Chuo au Taasisi ya Urnma
        28. Mrajis, Naibu Mrajis wa Mahkama Kuu na Mtendaji Mkuu wa Mahkama
        29. Mkurugenzi Mkuu, Naibu Mkurugenzi Mkuu,Mkurugenzi Mtendaji, Naibu Mkurugenzi Mtendaji.
        30. Mkurugenzi Mwendeshaji, Naibu Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la Umma, Bodi, Wakala na Taasisi nyengine za SMZ
        31. Mkurugenzi na Naibu Mkurugenzi wa Jiji, Mkurugenzi na Mkurugenzi Msaidizi wa Baraza la Mji na Mkurugenzi na Mkurugenzi Msaidizi wa Halmashauri ya Wilaya Mrajis na Naibu Mrajis wa Tume, Bodi, Wakala,Baraza, Shirika la Umma na Taasisi nyengine za SMZ
        32. Meneja Mkuu. Meneja na Mkuu wa Shifika la Umma Zanzibar
        33. Meya, Naibu Meya, Diwani na Sheha
        34. Katibu Tawala na Msaidizi Katibu Tawala wa Mkoa na Katibu Tawala na Msaidii Katibu Tawala wa Wilaya
        35. Afisa Mdhamini wa Wizara na Taasisi nyengine za SMZ
        36. Mwenyekiti wa Tume, Bodi ya Wakurugenzi, Bodi ya Ushauri, Wakala, Baraza na Taasisi nyengine za SMZ
        37. Katibu, Naibu Katibu wa Makamu wa Kwanza wa Rais na Makamu wa Pili wa Rais na Msaidizi wa Makamu wa Kwanza wa Rais na Makarnu wa Pili wa Rais
        38. Ofisa wa Sekretarieti wa Baraza la Mapinduzi
        39. Mhasibu Mkuu, Msaidizi Mhasibu Mkuu, Mhasibu wa Hazina na Mhasibu wa Voti wa Wizara, Idara na Taasisi nyengine za Serikali
        40. Mkaguzi Mkuu na Msaidizi Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Wizara, Idara na Taasisi nyengine za SMZ
        41. Afisa Kodi kutoka katika Taasisi ya ukuSanyajiwa mapato ya SMZ
        42. Katibu wa Bodi ya Zabuni na Mkuu wa Kitengo Cha Ununuzi na Uondoshaji wa Mali za Umma wa Wizara, Idara na Taasisi nyengine za SMZ.
        43. Afisa Dhamana wa Taasisi zinazojitegemea na Mashirika ya Umma
        44. Mkuu wa Idara Maalum, Naibu Mkuu Wa Idara Maalum, Mkuu wa Utawala, Mkuu wa Kamandi na Mkuu wa Zoni wa Idara Maalum za SMZ
        45. Meneja, Meneja Msaidizi, Mkurugenzi; Naibu Mkurugenzi, Mkuu wa Idara, Afisa Dhamana anayeteuliwa na Bodi ya Wakurugenzi, Bodi ya Ushauri, Tume, Baraza ‘hame au Taasisi nyengine za SMZ
        46. Katibu wa Bodi anayeteuliwa na Bodi ya Wakuugenzi, Bodi ya Ushauri, Tume, Baraza au Taasisi nyengine za SMZ
        47. Wateule wengine wa Rais nn Waziri.