
Asaa A. Rashid
Mwenyekiti

Balozi Muhamed M. Mzale
Commissioner

Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni wakala wa Serikali ambayo imeanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Sheria Nam. 4 ya mwaka 2015. Tume imeanza kufanya kazi mwezi wa Aprili, 2016.
© 2025 - All right reserved at Zanzibar Public Leaders’ Ethics Commission.